Ofa iliyokubaliwa ya Manchester City kumsajili kiungo Raheem Sterling
kutoka klabu ya Liverpool imeweka rekodi mpya katika listi ya wachezaji
ghali zaidi wenye asili ya taifa la Uingereza. Man city imekubali
kuilipa Liverpool ada ya kiasi cha £49m kwa ajili ya Sterling na kumfanya
kuwa mchezaji ghali zaidi ambaye bado yupo chini ya umri […]
The post Rooney, Sterling, Bale – listi ya wachezaji ghali zaidi wa
Kiingereza hii hapa appeared first on
Monday, July 13, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment