![](//1.bp.blogspot.com/-Kf6Dp9nzOV0/UYxS1vdihnI/AAAAAAAAJJI/2MTELq8IXbs/s000/date.png)
3:36 PM
![](//2.bp.blogspot.com/-KsISg7lKRxM/UYxS2WyOSBI/AAAAAAAAJJQ/R416Afh-K1I/s000/user.png)
Maimu love
Katibu
wa idara ya itikadi na uenezi CCM Mhe. Nape Nnauye awakaribisha rasmi
Watanzania katika kurasa za CCM katika mitandao ya kijamii. ili kupata taarifa sahihi kuhusu uchaguzi 2015,Na pia utaweza kutazama Mkutano mkuu
wa chama moja kwa moja siku ya jumamosi tarehe 11 Julai 2015,
0 comments:
Post a Comment