Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha
ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito
kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye timu pale ambapo anaona anakwenda
kinyume na matarajio yake . Hilo lilidhihirika siku chache zilizopita
wakati ambapo kocha huyo alipotangaza wazi kuwa na mpango wa […]
The post Kocha Manchester United amfukuza kipa. appeared first on Maimu love
Monday, July 20, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment