Monday, July 20, 2015

Rais wa UEFA toka 2007, Michel Platini, ameombwa na wadau wengi wakubwa wa soka agombee nafasi ya Urais wa Fifa...Platini amesema anasupport ya Confederation yake na Asia, Marekani ya Kaskazini, Visiwa vya Caribbean, Marekani ya Kusini na Marekani ya Kati...Sepp Blatter ambae anaondoka ataanzisha mjadala wa mabadiliko ya Fifa na atakutana na executive committee kuhusu tarehe ya uchaguzi wa Fifa lakini Confederatin nyingi wangependelea tarehe 6 Desemba iwe siku ya uchaguzi...Bofya hapa upate habari zaidi  

0 comments: