Rais wa UEFA toka 2007, Michel Platini,
ameombwa na wadau wengi wakubwa wa soka agombee nafasi ya Urais wa
Fifa...Platini amesema anasupport ya Confederation yake na Asia,
Marekani ya Kaskazini, Visiwa vya Caribbean, Marekani ya Kusini na
Marekani ya Kati...Sepp Blatter
ambae anaondoka ataanzisha mjadala wa mabadiliko ya Fifa na atakutana
na executive committee kuhusu tarehe ya uchaguzi wa Fifa lakini
Confederatin nyingi wangependelea tarehe 6 Desemba iwe siku ya
uchaguzi...Bofya hapa upate habari zaidi
Monday, July 20, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment