Mgombea Urais 2015 kwa tiketi ya Chama Tawala{CCM}.Bw,John Pombe Magufuli.
MKUTANO MKUU WA TAIFA umefanikiwa kumteua mgombea wa chama Urais 2015
ambaye ni Mhe. John Pombe Magufuli.
Ndugu Watanzania, Chama Cha Mapinduzi tumemchagua Ndugu John Pombe Joseph
Magufuli kuwa mgombea wetu wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2015.
— Jakaya Kikwete (@jmkikwete) July 12, 2015
#UmojaNiUshindi
Sunday, July 12, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment