Tuesday, July 21, 2015

Msanii jembe wakilishi la Tanzania{Bongo}Diamond Platnumz anayeendelea kumake headlines kila kukicha kwenye Media tofauti kutokana na uwezo wake kuzidi kukuwa kimataifa,
Hii ni baada ya Diamond kuwa mshindi wa tuzo bora za muziki Africa{MTV MAMA AWARDS 2015} kwenye kipengele cha mtumbuizaji bora wa kiume kwa mwaka 2015.
Kupitia ushindi huo imani imezidi kuwa kubwa kwa Wabongo,haswa baada ya kutangazwa kugombea kwenye vipengele vingi katika tuzo nyingine za AFRIMMA AWARDS 2015.
ANGALIA VIPENGELE ANAVYOSHINDANIA HAPO CHINI,
      1. Best Artist Of the Year
2. Best Dance Video (Nana)
3. Best Video (Ntampata Wapi)
4. Best East Artist of the Year
5. Best Collaboration (Nana)
6. Song of the Year (Ntampata Wapi)
7. Best Inspiration Song: Alive by Bracket ft Diamond platnunz & Tiwasavage...

0 comments: