Friday, August 7, 2015

Star wa Bongo Flava Africa Naseeb ‘diamond’ Abdul, na mpenzi wake Mganda Zarina ‘Bosslady’ Hassan wamefanikiwa kupata mtoto wa kike alfajir ya August 6 jijini Dar Es Salaam.
Stars kadhaa pamoja na uongozi wa Icon huyu, wamejitokeza kuwapongeza wapenzi hawa kwa hatua ya kujenga familia yao.
Picha kadhaa zinaendelea kusambaa mitandaoni kufafanua tukio hilo, mtoto huyo amepewa jina la Latifah.
Wakati furaha hii ikiendelea, tayari ndani ya masaa 8 binti huyu ameanza kupokea ‘deal’ ya matangazo kutoka kwenye maduka mbalimbali nchini.
Meneja wa kimataifa wa Diamond, Sallam Sk ametusanua kupitia twitter kuhusiana na kuendelea kupokea ‘michongo’ ya matangazo.

Tuesday, July 28, 2015

wa  Nini  UKAWA  Wameamua  LOWASSA  Awe  Mgombea  wao  wa  Urais??..... Tundu  Lissu  Amelijibu  Swahi  hili  kwa  Ufasaha  Kabisa  hapo  chni:

Edward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now.

Na amekuwa hivyo kwa muda mrefu. Sisi CHADEMA tulimweka kwenye Orodha ya Mafisadi kutokana na kuhusika kwake na Kashfa ya Richmond mwaka 2007.

Kwa hiyo swali halali kabisa ambalo lazima tulijibu kwa ufasaha ni hili: kwa nini tumekubali, sio tu kumpokea kama mwanachama, bali kumpa heshima ya kuwa mgombea wetu wa urais.

Na kwa nini washirika wetu wa UKAWA nao wamemkubali kuwa mgombea wao wa urais??? Jibu ni kwamba tupo katika kipindi na mazingira ya kipekee ya kisiasa katika nchi yetu. Kwa mara ya kwanza katika historia yetu kama taifa, tunaona mfumo tawala ukipasuka vipande vipande.

Kwa mara ya kwanza tunaona CCM ikipasuka katikati. Na mtu aliyeipasua CCM na mfumo tawala ni Edward Lowassa. Sisi CHADEMA tumefanya kazi kubwa ya kujenga chama tangu 2010.

 Tuna wagombea wengi na bora katika majimbo mengi ya uchaguzi na ngazi ya madiwani kuliko ambavyo tumewahi kuwa nao kwa miaka yote ya nyuma. Hata hivyo, ni ukweli pia kwamba kuna maeneo mengi ya nchi ambako tuko dhaifu sana.

Kwa kuingia kwake CHADEMA na UKAWA, Lowassa anayaingiza maeneo hayo kwenye ulingo wa kisiasa and very much within our reach.

Na Lowassa ataiporomosha CCM kwa sababu ana nguvu kubwa ndani ya chama hicho kuliko mwanasiasa mwingine yeyote. Katika mazingira ya sasa ya kipekee, tunahitaji kuamua nani ni adui mkubwa zaidi wa nchi yetu na ustawi wake:Edward Lowassa mtuhumiwa wa ufisadi au CCM na mfumo tawala ambao unajenga mazingira yanayostawisha na kulinda ufisadi.??

Sisi Chadema na UKAWA tumeamua kuwa adui yetu mkubwa wa sasa na siku zote ni CCM na mfumo tawala.

Tumemkaribisha Edward Lowassa kwa sababu kuwepo kwake kutaharakisha kuiangamiza CCM na mfumo tawala. Tunaomba wananchi mtuelewe na kutuunga mkono.


Wednesday, July 22, 2015




DAANG

Loyiso kijana wa miaka 19 ameweka headlines kubwa sana jijini Johannesburg South Africa baada ya tukio la janga la treni kutokea mjini hapo.
Kijana huyo aliyekuwa kwenye kipindi cha mitihani alifariki siku ya jana baada ya kuthubutu kucheza mchezo wa kurukaruka ndani na nje ya treni iliyokuwa kwenye spidi kali, mchezo unao hatarisha maisha.
Train SA1
     

Loyiso alikuwa njiani kuelekea shule wakati mchezo huo ulipogeuka kuwa tukio la kutisha, baadhi ya abiria waliokuepo kwenye treni hiyo walisema…
>>> “alikuwa anarukaruka ndani na nje ya treni hii na kwa bahati mbaya aliteleza na kuingia katikati ya reli za treni tukiwa tunakaribia kituo cha Chiawelo Railway Station”.<<<
TRAIN SA2

>>>walikuwa kikundi…kikundi cha vijana waliokuwa wanacheza mchezo huu, lakini kwa bahati mbaya huyo mmoja aliteleza na kuingia chini ya reli ya treni na kichwa chake kilisagwa. Ni tukio la kutisha sana na linavunja moyo.<<<
Vyombo vya kulinda usalama kwenye kituo cha Chiawelo Railway Station vimekuwa vikijaribu kupambana na tatizo la mchezo huu kwa muda mrefu sana kwani limekuwa tishio kwa jamii. Tukio hili limewaacha ndugu, jamaa, marafiki pamoja na wanafunzi wengi na masikitiko makubwa.
Nimekusogezea video inayoonyesha jinsi mchezo huu unavyochezwa nchini South Africa.

>>>walikuwa kikundi…kikundi cha vijana waliokuwa wanacheza mchezo huu, lakini kwa bahati mbaya huyo mmoja aliteleza na kuingia chini ya reli ya treni na kichwa chake kilisagwa. Ni tukio la kutisha sana na linavunja moyo.<<<
Vyombo vya kulinda usalama kwenye kituo cha Chiawelo Railway Station vimekuwa vikijaribu kupambana na tatizo la mchezo huu kwa muda mrefu sana kwani limekuwa tishio kwa jamii. Tukio hili limewaacha ndugu, jamaa, marafiki pamoja na wanafunzi wengi na masikitiko makubwa.
Nimekusogezea video inayoonyesha jinsi mchezo huu unavyochezwa nchini South Africa.



Tuesday, July 21, 2015

Msanii jembe wakilishi la Tanzania{Bongo}Diamond Platnumz anayeendelea kumake headlines kila kukicha kwenye Media tofauti kutokana na uwezo wake kuzidi kukuwa kimataifa,
Hii ni baada ya Diamond kuwa mshindi wa tuzo bora za muziki Africa{MTV MAMA AWARDS 2015} kwenye kipengele cha mtumbuizaji bora wa kiume kwa mwaka 2015.
Kupitia ushindi huo imani imezidi kuwa kubwa kwa Wabongo,haswa baada ya kutangazwa kugombea kwenye vipengele vingi katika tuzo nyingine za AFRIMMA AWARDS 2015.
ANGALIA VIPENGELE ANAVYOSHINDANIA HAPO CHINI,
      1. Best Artist Of the Year
2. Best Dance Video (Nana)
3. Best Video (Ntampata Wapi)
4. Best East Artist of the Year
5. Best Collaboration (Nana)
6. Song of the Year (Ntampata Wapi)
7. Best Inspiration Song: Alive by Bracket ft Diamond platnunz & Tiwasavage...
These is the Recently Video Music From South Africa Artist DONALD and our Beloved Diamond Platnumz From Tanzania, This song Called "WANGU" DIRECTED BY: Justin Campos

Monday, July 20, 2015

Rais wa UEFA toka 2007, Michel Platini, ameombwa na wadau wengi wakubwa wa soka agombee nafasi ya Urais wa Fifa...Platini amesema anasupport ya Confederation yake na Asia, Marekani ya Kaskazini, Visiwa vya Caribbean, Marekani ya Kusini na Marekani ya Kati...Sepp Blatter ambae anaondoka ataanzisha mjadala wa mabadiliko ya Fifa na atakutana na executive committee kuhusu tarehe ya uchaguzi wa Fifa lakini Confederatin nyingi wangependelea tarehe 6 Desemba iwe siku ya uchaguzi...Bofya hapa upate habari zaidi  
Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye timu pale ambapo anaona anakwenda kinyume na matarajio yake . Hilo lilidhihirika siku chache zilizopita wakati ambapo kocha huyo alipotangaza wazi kuwa na mpango wa […] The post Kocha Manchester United amfukuza kipa. appeared first on Maimu love
Msanii wa afrika kusini,Dolnad aliyemshirikisha Diamond kwenye collabo waliyoipa jina la kiswahili "wangu; amewaomba radhi mashabiki waliokuwa wanatarajia video hiyo na audio ya wimbo huo ambao awali ulipangwa kutoka ijumaa iliyopita 17/7/2015.
Kabla hatujaangalia ni kipi cha kufanya, naomba tupate maoni kutoka kwa msomaji mwenzetu ambaye anapitia changamoto hii. Na maoni ya leo ni marefu kidogo hivyo yasome kwa umakini ili tuweze kwenda vizuri.
Habari mkuu,
Mimi nafanya kazi na nina familia sasa majukumu yamekuwa mengi na kipato hakitoshi kabisa na nina plan ya kufanya biashara
sasa tatizo moja nina deni crdb nilikopa na kununua shamba kama heka mbili na pesa nyingine nilifanyia vitu vya ajabu nikajikuta imekwisha sasa kosa nimejifunza na sasa nahitaji kufanya biashara ili nije  kujenga nyumba yangu na niondokane na upangaji wa nyumba na nilikuwa na plan ya kujenga room mbili za kuishi ili niepuke kwanza upangaji wa nyumba halafu nikiwa hapo kwangu naweza kuendeleza kidogo kidogo. 
Sasa kuna saccos nimejiunga na inatoa mkopo kutokana na akiba uliyonayo ila mkopo wa kwanza hauzidi 3 milion nami nina mkopo bado crdb na ni wa miaka 4 yaani mpaka 2017 sasa nikaona bora niombe ushauri jinsi ya kufanya
nina jamaa yangu hapa mwanza na yeye ana duka na nilimwomba niweke m pesa, tigo pesa na airtel money ili nianze na biashara hiyo kidogo kidogo hapo dukani kwake kwa kumweka mtu wangu yaani namwajili mtu au mimi mwenyewe nakaa na pesa yangu na akija mteja wa kutaka kutuma au kutoa pesa nafanya kazi hiyo naongopa kumpatia pesa kwani si mwaminifu na pesa na pale kuna mzunguko mkubwa wa biashara hiyo.
Na plan nyingine ni kufuga kuku wa kienyeji ila sasa ili nifunge kuku wa kienyeji inabidi nihamie kwangu yaani kule nilikonunua shamba langu kwani hilo shamba nilienda halmashauri kwa dhumuni la kupima nipate viwanja na nikapewa gharama na mchoro pia na kuna viwanja kama 11 hivyo kichwa kinaniuma tena ni kupima eneo langu na kupata hivyo viwanja na kuviweka na plan ni kuja kuviuza kama 4 baadae baada ya miaka kama 3 nadhani bei itakuwa kubwa kwa eneo hilo hivyo kwa biashara ya kuku pale nitafanikiwa ila sasa lazima nijenge vyumba hata viwili vya kulala ili niwe hapo na kuanza plan hiyo
Plan nyingine ni kulima punga na kufanya biashara ya kununua na kuuuza mazao
sasa plan ya kuchukua mkopo na kufanya biashara ya mtandao yaani m pesa na tigo na airtel money ndiyo naona ina faida ambayo naweza kupata kila mwezi na kulipa kwanza deni hapo saccos halafu nikimaliza nabaki na mtaji wangu na naendeleleza kujenga na plan zingine pia 
ebu nipe ushauri kijana mwenzangu kwani na plan baada ya miaka mitatu niache kufanya kazi za watu niwe na kampuni yangu mwenyewe hivyo nipe mawazo nifanye lipi ili nisonge mbele nahitaji maisha mazuri ya kwangu na mke wangu na watoto wangu pia na mtoto wangu niwaachie maisha mazuri
wako 
F B
Kama umesoma kwa makini utaona msomaji mwenzetu ana mipango mingi sana lakini mipango yote hiyo anataka impelekee kuweza kuondoka kwenye ajira na kujiajiri mwenyewe na hatimaye kuwa na maisha mazuri kwake na kwa familia yake.
Karibu sasa tuangalie ni mambo gani muhimu ya kuzingatia ili uweze kutoka kwenye ajira mpaka kujiajiri na kuwa na maisha mazuri. Yote haya yataendana na changamoto za msomaji mwenzetu aliyetuandikia.
A. Umeshafanya makosa.
Kitu cha kwanza kabisa ambacho unatakiwa kukifahamu ni kwamba umeshafanya makosa. Na japo umekiri kwamba umefanya makosa sijui kama umejifunza kutokana na makosa hayo ili usije kuyarudia tena. Umetuambia kwamba ulichukua mkopo benki ukanunua shamba na hela nyingine ukafanyia vitu vya ajabu. Kimsingi ni kwamba mkopo wote uliochukua ulifanyia vitu vya ajabu.
Kuchukua mkopo ambao unaulipia riba na kwenda kununua shamba sio maamuzi sahihi, kama kweli unataka kufanikiwa. Chukua mkopo na ufanyie shughuli ya uzalishaji ili uweze kulipa deni na kupata faida zaidi ambayo itakuwezesha kuwa na fedha za kuweza kununua hivyo viwanja na vitu vingine muhimu unavyohitaji.
B. Achana na mipango ya kujenga kwa sasa.
Umeeleza vizuri sana kwamba unahitaji kujenga vyumba viwili tu ili uondokane na nyuma za kupanga. Unaweza kuona unafanya maamuzi sahihi sana lakini hapa unakwenda kupotea tena.
Kwanza kabisa unataka kujenga kwa kutumia mkopo, ambao unatakiwa kulipa kwa riba na wakati huo huo una mkopo mwingine, tafadhali sana acha kujiweka kwenye matatizo zaidi.
Pili ujenzi una gharama, hata kama ni vyumba viwili tu, kuna gharama nyingi sana ambazo huwezi kuzipigia mahesabu. Kwa kifupi kama umepanga kujenga nyumba ya milioni tano, unahitaji kuwa na fedha zaidi ya hiyo, angalau mara mbili yake. La sivyo utaishia njiani.
Tatu ujenzi unahitaji muda, utaanza kukimbizana na mafundi, mara sijui mtu w akumwagilia, mara mtu wa kufanya nini, haya yote yatazidi kuchukua muda wako na ushindwe kufanya mambo muhimu.
Hivyo kwa sasa futa kabisa mawazo ya kujenga, unakwenda kuzika hela ambazo sio hata za kwako.
SOMA; USHAURI; Usikimbilie Kujenga Kabla Hujawa Na Uhakika Wa Kipato.
C. Punguza mipango uliyonayo.
Una mipango mingi sana, usijidanganye, huwezi kuitekeleza yote, tena kwa wakati mmoja. Unataka kujenga, huku unataka kufanya biashara ya fedha, unataka kufanya biashara ya mazao na huku unafikiria kufuga. Huwezi kufanya vitu vyote hivi kwa wakati mmoja, hata kama utaanza na kimoja, inabidi usiendelee kufikiria vingine, maana vitakusumbua na kukufanya ushindwe kuzingatia kile ambacho umechagua kufanya.
Kujenga umeshaondoa kwenye mipango yako, tigo pesa na mpesa nazo utaziondoa, kwa sababu mbili ninazokupa hapo chini, kufuga nako unaondoa kwa sababu huna eneo.
D. Usifanye biashara na huyo rafiki yako.
Umesema kuna rafiki yako ambaye ana duka na unaweza kuweka huduma za fedha pale dukani kwake. Lakini pia umesema sio mwaminifu hivyo huwezi kumkabidhi pesa zako. Sasa hii ni sababu nzuri sana ya kutokufanya naye biashara kabisa. Mtu ambaye sio mwaminifu ni sio mwaminifu tu, hakuna njia yoyote unayoweza kutumia kumdhibiti hasa kwa hapa ambapo yeye ndio anakubeba wewe.
Kama hutaki matatizo zaidi epuka kujihusisha kibiashara na mtu huyu.
E. Biashara ya miamala ya fedha pekee haiwezi kukupa uhuru.
Moja ya mipango yako ni kuwa na biashara ya miamala ya fedha, yaani tigo pesa, mpesa na airtel money. napenda nikufahamishe kwamba biashara hii peke yake haiwezi kukupatia uhuru. Ndio zamani biashara hizi zililipa vizuri sana lakini kwa sasa mambo yamebadilika. Kamisheni sio nzuri tena kama zamani na biashara imekuwa inafanywa na watu wengi.
Kwa mawazo ya kuanza na mtaji kidogo hii sio biashara ya kutegemea, labda kama una biashara nyingine mama na hizi zikawa ni huduma nyingine zinazopatikana.
F. Kwa kuanzia, huna mpango wowote mpaka sasa.
Kwa haya tuliyojadili mpaka sasa ni kwamba huna mpango wowote ambao unaweza kukutoa hapo ulipo. Mambo mengi yanayokuumiza kichwa kwa sasa, yataendelea kukuumiza kichwa zaidi kama utaendelea kuyafikiria au utaamua kuyafanya. Hivyo sasa unahitaji kukaa chini na uje na mpango mwingine, huku ukiondoa kabisa mipango ya awali.
SOMA; USHAURI; Ni Biashara Gani Unaweza Kufanya Kwa Mtaji Mdogo Ulionao?
G. Ufanye nini sasa?
Kwa kuzingatia yote hayo ambayo tumejadili hapo juu naomba nikupe hatua za kufanya sasa ili kuweza kujiondoa hapo ulipo na kuwa na maisha bora.
Naomba nikupe angalizo kwamba hayo ninayokuambia yanahitaji muda, hivyo kama una haraka na unafikiri umeshachelewa hutaweza kuyafanya na mbaya zaidi utaendelea kuchelewa.
Hivyo kama upo tayari kuwa na maisha bora nakushauri ufanye mambo yafuatayo;
1. Endelea kufanya kazi uliyonayo sasa, kwa sababu una deni la miaka miwili ijayo, kazi hii itakusaidia kulilipa, hakuna biashara yoyote utakayoanzisha sasa itakuwezesha kulipa deni haraka na ikaendelea kuwepo.
2. Kaa chini na ufikirie biashara nyingine unayoweza kuifanya wakati unaendelea na kazi yako. Wakati huo unafikiria biashara hiyo, tenga fedha kidogo kwa ajili ya kuanzia biashara hiyo. Fedha hii utaweza kuipata kama utaondoa gharama ambazo sio za msingi kwenye maisha yako.
3. Anza biashara hiyo utakayoipata kwa fedha zako kidogo kabla hujaingia kwenye mkopo. Hii itakusaidia kuijua biashara na changamoto zake kabla hujaingia kwenye biashara na kupata hasara.
4. Jenga nidhamu kubwa sana ya fedha, kwa sasa sahau anasa au starehe ambazo umezoea kupata, unahitaji kujipanga na kufanya kazi kwa juhudi sana ili uweze kufikia lengo ulilojiwekea.
5. Unahitaji kujipa muda, kadiri unavyotamani kufanikiwa haraka ndivyo unavyoshawishika kujiingiza kwenye maamuzi ambayo yatakugharimu sana.
Fanyia kazi mambo hayo na kama utahitaji mwongozo zaidi tunaweza kuwasiliana.
Nakutakia kila la kheri katika safari hiyo ya kuboresha maisha yako, uweze kuondoka kwenye hali ngumu uliyonayo mpaka kuweza kufikia uhuru wa maisha yako. Hakuna ambacho kinashindikana, ila unahitaji kujitoa na kuweka juhudi kubwa.
TUPO PAMOJA

Sunday, July 19, 2015


                   Diamond Platinumz akifanya yake katika red carpet ya tuzo za MTV.MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya MTV yaBest Live Act na kuwamwaga wasanii Mi Casa -South Africa, Flavour- Nigeria, Big Nuz -South Africa naToofan- Togo.
ORODHA KAMILI YA WASHINDI HII HAPA:
Best Female:
Yemi Alade (Nigeria) >>> Mshindi.
Bucie (South Africa)
Busiswa (South Africa)
Seyi Shay (Nigeria)
Vanessa Mdee (Tanzania)
Best Male:
Davido (Nigeria) >>> Mshindi
AKA (South Africa)
Diamond (Tanzania)
Sarkodie (Ghana)
Wizkid (Nigeria)
Best Group:
P Square (Nigeria) >>> Washindi.
B4 (Angola)
Beatenberg (South Africa)
Black Motion (South Africa)
Sauti Sol (Kenya)
Best New Act Transformed by Absolut:
Patoranking (Nigeria) >>> Mshindi.
Anna Joyce (Angola)
Cassper Nyovest (South Africa)
Duncan (South Africa)
Stonebwoy (Ghana)
Best Hip Hop:
Cassper Nyovest (South Africa) >>> Mshindi.
K.O. (South Africa)
Phyno (Nigeria)
Olamide (Nigeria)
Youssoupha (DRC)
Best Collaboration:
AKA, Burna Boy, Da LES & JR: “All Eyes On Me” (South Africa/ Nigeria) >>> Washindi.
Davido featuring Uhuru & DJ Buckz: “The Sound” (Nigeria/SA)
Diamond & Iyanya: “Bum Bum” (Kenya/Nigeria)
Toofan & DJ Arafat: “Apero Remix” (Togo/Ivory Coast)
Stanley Enow & Sarkodie: “Njama Njama Cow Remix” (Cameroon/Ghana)
Song of the Year:
Mavins: “Dorobucci” (Nigeria)>>> Washindi.
Cassper Nyovest: “Doc Shebeleza” (South Africa)
Euphonik featuring Mpumi: “Busa” (South Africa)
DJ Fisherman & NaakMusiQ featuring DJ Tira, Danger & Dream Team: “Call Out” (South Africa)
K.O featuring Kid X: “Caracara” (South Africa)
Lil Kesh Featuring Olamide & Davido: “Shoki Remix” (Nigeria)
Sauti Sol: “Sura Yako” (Kenya)
Toofan: “Gweta” (Togo)
Wizkid: “Show You The Money” (Nigeria)
Yemi Alade: “Johnny” (Nigeria)
Best Live:
Diamond Platnumz (Tanzania) >>> Mshindi.
Big Nuz (South Africa)
Flavour (Nigeria)
Mi Casa (South Africa)
Toofan (Togo)
Video of the Year:
“Nafukwa” – Riky Rick; Director: Adriaan Louw >>> Mshindi.
“Crazy” – Seyi Shay Featuring Wizkid; Director: Meji Alabi
“Doors” – Prime Circle; Director: Ryan Kruger
“Love You Everyday” – Bebe Cool; Director: Clarence Peters
“The Sound” – Davido Featuring Uhuru & DJ Buckz; Director: Sesan
Best Pop & Alternative:
Jeremy Loops (South Africa) >>> Mshindi.
Fuse ODG (Ghana)
Jimmy Nevis (South Africa)
Nneka (Nigeria)
Prime Circle (South Africa)
Best Francophone:
DJ Arafat (Ivory Coast) >>> Mshindi.
Jovi (Cameroon)
Laurette Le Pearle (DRC)
Tour 2 Garde (Ivory Coast)
Toofan (Togo)
Best Lusophone:
Ary (Angola) >>> Mshindi
B4 (Angola)
Nelson Freitas (Cape Verde)
NGA (Angola)
Yuri Da Cunha (Angola)
Personality of the Year:
Trevor Noah (South Africa) >>> Mshindi.
Basketmouth (Nigeria)
Bonang Matheba (South Africa)
OC Ukeje (Nigeria)
Yaya Toure (Ivory Coast)
MAMA Evolution (Category mpya): D’Banj (Nigeria) >>>> Mshindi.
Best International: Nicki Minaj (Mshindi)
Artist of the Decade: P Square (Washindi)
MTV Base Leadership Award: Saran Kaba Jones & S’Bu Mavundla (Washindi

Friday, July 17, 2015

TAHOSSA WESTERN ZONE

Form Four Mock Examination Results - 2015

S0754 URAMBO DAY SS

DISTINCTION= 0 MERIT= 1 CREDIT= 14 PASS= 72 FAIL= 78

CNO CNAME SEX GPA CLASS DETAILED SUBJECTS
S0754/0001 AMIDA YAHAYA YUSUFU F -- Inc HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0002 AMINA B RAMADHAN F 0.3 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' ISLAM - 'D'
S0754/0003 AMINA JABILI SIZYA F 0.3 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' ISLAM - 'F'
S0754/0004 AMINA ATHUMANI F -- Inc CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0005 AMINA STANDE F -- Inc HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' BIO - 'F' PHY - 'F'
S0754/0006 ANASTAZIA P KASANGA F 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0007 ANITHA ANDREA CHIRESHE F -- Inc CIV - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0008 ANNA EDMUND ADRIAN F 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0009 ANNA WILLIAM F 0.1 FAIL CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0010 ASHA BUNDALAH YASINI F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0011 ASHA JUMA F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0012 ASHURA SELEMAN SALUMU F 0.6 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'D'
S0754/0013 CATHERINE ANTHONY MABALA F 1.1 PASS CIV - 'B+' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0014 CHRISTINA GEORGE CHARLES F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0016 DORIS JOHN NOVATUS F -- Inc CIV - 'C' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'F'
S0754/0017 EDINA PHILIMONI F 0.3 PASS CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0018 EDITHA JEREMIA TUNDUZA F -- Inc CIV - 'B' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0019 ELINA PAUL F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0020 ELIZABETH L DAUD F 1.7 CREDIT CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' BIO - 'D' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0021 GETRUDA KIANGA JOHN F 0.6 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0022 GLADNESS EDISON LUTENDELI F 1.1 PASS CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0023 HADIJA MUSA KIDAGWE F 0.4 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0024 HADIJA RASHID KALUNGA F 0.6 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'E'
S0754/0025 HADIJA SOUD LUPANDE F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F'
S0754/0026 HAPPINESS PATRIKI LARID F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0027 HAPPINESS PHILBERT JUMANNE F -- Inc CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0028 HAPPYNESS MANENO KAHUGA F 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0029 HAWA A TENGIA F 0.2 FAIL CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0030 HAWA MICHAEL CHANDE F 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0032 JANETH HERMAN KIMENYI F -- Inc CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0033 JUSTINA SIZYA F 0.9 PASS CIV - 'B+' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0034 LEA RAMEKI MALIJANI F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0035 LOVENESS C ADAMU F -- Inc CIV - 'B' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F'
S0754/0036 LUCIA HENERI CHEYO F -- Inc CIV - 'B' ENGL - 'E'
S0754/0038 MAGRETH CHRISTOFA KIDIFU F 0.3 PASS CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0039 MARIA RASHIDI LUGINA F 1.3 PASS CIV - 'B+' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0040 MARIAM ELIAS PIUS F -- Inc CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F'
S0754/0041 MARY GABRIEL MASIKOLWA F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0042 MARY NASHONI MBAKILEKI F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0043 MONICA KIMARO ABUNERI F 0.7 PASS CIV - 'B' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0044 MONICA SELIJUS JANUARI F -- Inc CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0045 MWASA ABDUL NZIGE F 2.2 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B+' ENGL - 'B' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0046 NAIMA NAJIMU MPINGWE F 0.1 FAIL CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' ISLAM - 'F'
S0754/0047 NDISHA KAMANYA RAMADHANI F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0048 NYANGAI MAGAFU LULALE F 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0049 PENDO RANIFORD YOWAS F 0.4 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0050 PUDENSIANA JOHN F 0.1 FAIL CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0051 RAHMA YAHAYA SHABANI F 0.4 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' ISLAM - 'F'
S0754/0052 REHEMA HABIBU ISSA F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0054 REHEMA KASANZU F 0.5 PASS CIV - 'B' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0055 ROSEMARY THOMAS EXAVERY F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0056 SAKINA MASOUD ADAMU F 0.4 PASS CIV - 'F' HIST - 'B' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0057 SALIMA KAMBENGA F -- Inc CIV - 'F' HIST - 'B' KISW - 'F' ENGL - 'D' BIO - 'F'
S0754/0058 SALOME YONA IBONDE F 0.7 PASS CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0059 SELINA KOLONELI F 0.4 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0060 SHARIFA JACKSON F 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0061 SHEBINA LUMATILIZA LUBUNGILA F 0.4 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0062 SITI JUMA YATE F 0.6 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'E'
S0754/0063 SUZANA ELIAS F 1 PASS CIV - 'B+' HIST - 'D' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0064 TAUSI NASIBU ALLY F 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0065 ZEITUNI MALACK MPAMBIJE F 0.3 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0066 ZUHAIRU SHARIFU NTEGAKAJE F 0.5 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'C' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0067 ABDALLAH JUMANNE KAGOMA M 0.7 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'D'
S0754/0068 ABDUL MICHAEL MBOGO M 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0069 ABED MOSHI JUMA M -- Inc CIV - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0070 ABUBAKARI ATHUMANI MKWAJE M -- Inc CIV - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F'
S0754/0071 ACRIEL JACKSON NDELEKA M 2.4 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'D' GEO - 'B' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'D' B/MATHS - 'B+' PHY - 'D' CHEM - 'E'
S0754/0072 AGUSTINO NOBERT EFRAIM M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0073 ALEX ERNEST MWAMBONEKE M 0.9 PASS CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'E'
S0754/0074 ALFRED DICKSON NYONGEZA M 0.3 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0075 ALLY SAID MSIRI M 0.4 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0076 ALLY YAHAYA MAKANKASHA M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0078 AMANI MICHAEL KIJOMOKO M 1.9 CREDIT CIV - 'B' GEO - 'B' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'B' B/MATHS - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'E'
S0754/0079 AMOSI JUMA M 1.2 PASS CIV - 'B' HIST - 'F' GEO - 'C' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0080 AMOUR ALLY ADAMU M 2.3 CREDIT CIV - 'A' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'B+' BIO - 'D' B/MATHS - 'E' CHEM - 'D'
S0754/0081 ANDREA FEDRICK CHAMBALA M 1.1 PASS CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0082 ARON PETER ANDREA M 0.9 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATHS - 'F'
S0754/0083 ATHUMANI NASSORO M -- Inc CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F'
S0754/0084 BARAKA M KIHEDU M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0085 BENJAMIN ENOCK MSONDE M 0.4 PASS CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0086 BUTONDO SHISHIRA JILALA M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' PHY - 'F'
S0754/0087 CLAVERY BYEKANIKO BONIPHACE M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0088 DAVIDI JULIUS SHIJA M 1.1 PASS CIV - 'B' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0089 DICKSON ANDREA NDIMUBHANDI M 2.1 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' BIO - 'B+' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0090 DOTTO ROBERT JOHN M 1.6 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0091 EDSON ELIASI STEVEN M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0092 EDWARD DEO RAMADHAN M 0.8 PASS CIV - 'B' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0093 EMANUEL GABRIEL MWANALINZE M -- Inc CIV - 'B' HIST - 'B' GEO - 'D' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F'
S0754/0094 EMMANUEL GERVAS MAKALA M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0095 ESTONI LEONARD MDINDILE M 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0096 EZRA MARCO SIBENE M 0.4 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0097 FEDRICK ADAM M -- Inc HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0098 FELIX FRANCISCO JOHN M 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0099 FRANK BRIGHTON MBOGO M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0100 FREDY Y MASANJA M -- Inc CIV - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0101 GABRIEL DAVID MNANGALA M -- Inc CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0102 GABRIEL GERVAS TELU M 0.5 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0103 GABRIEL COSTANTINO M 0.6 PASS CIV - 'B' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0104 HALFAN MAJALIWA GWAMA M 2.4 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'B' BIO - 'C' B/MATHS - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'D'
S0754/0105 HAMIDU HUSSEIN SUNGURA M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' KISW - 'F' BIO - 'F'
S0754/0106 HAMIS MASOUD HAMIS M 0.8 PASS CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'C'
S0754/0108 HAMISI ZAIDI HAMISI M 0.4 PASS CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F'
S0754/0109 HARUNA MASHAKA KADEKWA M 1.5 PASS CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0110 HUSEN SHABANI M 0.4 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0111 HUSSEIN SELEMANI HALFAN M 0.3 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0112 HUSSENI HUDU KIBONAJORO M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0113 IBRAHIM MILAJI M -- Inc CIV - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F'
S0754/0114 IBRAHIM ABDALLAH MGAYWA M 0.4 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0115 IBRAHIMU RAMADHANI M 1.6 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'E' ENGL - 'C' BIO - 'C' B/MATHS - 'D' PHY - 'E' CHEM - 'F'
S0754/0116 IDD ALLY KIPWAGI M 0.3 PASS CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'E'
S0754/0117 ISIKE AMATI TENGIA M -- Inc CIV - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F'
S0754/0118 ISMAIL SWEDI FUNDIKILA M 0.8 PASS CIV - 'B' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0119 ISSA RAMADHAN MTIMUZI M 0.4 PASS CIV - 'B' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'E'
S0754/0120 JACOBO STEPHANO M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0121 JAVESON DAMSON NDADYA M 0.9 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0122 JEREMIA AMAN MWAIJUBA M 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0123 JOFREY WILLIAM JAMES M 2 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'D' B/MATHS - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'C'
S0754/0124 JOHN PETRO SENGAMITI M 0.7 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATHS - 'E' PHY - 'E' CHEM - 'F'
S0754/0125 JONATHANI MPEPHO MBUA M 0.8 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0126 JOSHUA RUBEN NUNGWANA M -- Inc CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'F' PHY - 'F'
S0754/0127 JUMA BAKARI KIGODA M 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'E' CHEM - 'F'
S0754/0128 JUMA J TITO M 1.2 PASS CIV - 'B' HIST - 'F' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'E' PHY - 'E' CHEM - 'F'
S0754/0129 JUMANNE MISUNGWI MUSSA M 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0130 KAJORO HAMIS KAJORO M 1.4 PASS CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'B' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0131 KIMWAGA JUMA BAKARI M 0.8 PASS CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'E'
S0754/0132 LUCAS WILLIAM PETRO M 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0133 LUGIRIMBA SHABANI M 0.9 PASS CIV - 'C' HIST - 'B' GEO - 'E' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0134 MASOUD IDD HOSSEA M 0.7 PASS CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'C' B/MATHS - 'E' CHEM - 'F'
S0754/0135 MASOUD RAMADHAN KASEMBO M 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0136 MAULIDI YAHYA SABUMWA M 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0137 MAULIDI ABDALLAH M 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' ISLAM - 'E'
S0754/0138 MOYO HAMAD MUSTAPHA M 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0139 MSUNGA MAGANGA DAMIANO M 3 MERIT CIV - 'B+' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'B+' BIO - 'C' B/MATHS - 'A' PHY - 'D' CHEM - 'E'
S0754/0140 MUNIRU MRISHO SALEHE M 0.9 PASS CIV - 'B+' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'C'
S0754/0141 NASORO MUSSA KIPWAGI M 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0142 NASSORO NASSIBU MLEWA M 1.2 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'D' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0143 NATHAN GODFREY MAGWAYA M 1.4 PASS CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'C' B/MATHS - 'D' PHY - 'E' CHEM - 'F'
S0754/0144 OMARY MANENO MAGAYA M -- Inc CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F'
S0754/0145 PAULO MAGANGA M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0148 RAMADHAN RASHID RAMADHAN M 0.5 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0149 RAMADHAN SOUD M 1.8 CREDIT CIV - 'C' HIST - 'B' GEO - 'B' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'E' B/MATHS - 'F'
S0754/0151 RAMADHANI SAIDI ALLY M -- Inc CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'D'
S0754/0152 RAMADHANI ZUBERI KAPONTA M 2.4 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'B' B/MATHS - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'E'
S0754/0153 RAMADHANI AYUBU M 0.9 PASS CIV - 'B' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0154 RAPHAEL SILAS MWIJARUBI M 0 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0155 RASHID JUMANNE M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0156 RASHIDI LUTAHA SHILANGONGA M 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0157 REMMY CREDO SIMFUKWE M 0.4 PASS CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0158 ROMAN JOACKIM MIHAMBO M 0.9 PASS CIV - 'B' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0159 RUBEN SIMON REUBEN M 0.7 PASS CIV - 'B' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'C' BIO - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0160 SAIDI IBRAHIMU MRISHO M 0.1 FAIL CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0161 SALANGI MSAFIRI SALEHE M -- Inc CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F'
S0754/0162 SEBASTIAN ADAM MASAKA M 0.3 PASS CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0163 SELEMAN NASIBU MDITU M 2.3 CREDIT CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'B' BIO - 'C' B/MATHS - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'C'
S0754/0164 SILVANUS PIMA M -- Inc CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0165 STEPHANO JOHN M 0.8 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0166 STEVEN MCHOMVU M 0.4 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0167 SUDI SEIF HAMOUD M 0.3 PASS CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' ISLAM - 'F'
S0754/0168 VENACE F VENACE M 1 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'F' B/MATHS - 'F'
S0754/0169 YAHAYA UZIA YAHAYA M 0.3 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' CHEM - 'F' ISLAM - 'E'
S0754/0170 YOASI RANIFORD M 0.3 PASS CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0171 YOHANA JOSEPH FUMBUKA M 2.4 CREDIT CIV - 'B+' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'C' BIO - 'B+' B/MATHS - 'E' PHY - 'E' CHEM - 'F'
S0754/0172 YUSUPH ATHUMANI NTEGAKAJE M 1.4 PASS CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' BIO - 'E' B/MATHS - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0173 YUSUPH RAMADHAN YUSUPH M 0.6 PASS CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATHS - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F'
S0754/0174 ZEZE YONA MSUFU M 0.6 PASS CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'E' CHEM - 'F'

REGIST
ABSENT
SAT
DISTINCTION
MERIT
CREDIT
PASS
FAIL
165
0
165
0
1
14
72
78

EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE DISTRICT
URAMBO
EXAMINATION CENTRE REGION
TABORA
TOTAL PASSED CANDIDATES
87
EXAMINATION CENTRE GPA
0.5
CENTRE CATEGORY
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(DISTRICTWISE)
6/10
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)
0/117
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(ZONEWISE)
0/304

Wednesday, July 15, 2015

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, (wapili kushoto0, akichukua futari wakati alipowaandalia futari wafanyakazi wake kwenye hoteli ya city garden jijini Dar es Salaam. PPF imekuwa na utaratibu kama huo wa kuwaandalia futari wadau wa Mfuko huo hali kadhalika wafanyakazi wake, kila mwaka ili kuonyesha mshikamano wa pamoja
                                                               Baadhi ya Wafanyakazi wa PPF wakishirikia kwenye Futari ya pamoja.
Kila mtu alivyoumbwa kuna kitu alizaliwa ili aje kukifanya, analo jibu la changamoto fulani katika maisha haya tulimo. Ni wajibu wa kila mmoja kuweza kutambua hilo na kuishi hilo kusudi. Hakuna hata mtu mmoja aliyezaliwa ili aje kuwa kama mtu mwingine, ulizaliwa uwe wewe. Kila mtu ni wa pekee ana uwezo wa kufanya mambo kwa namna yake ambayo hakuna mwingine anaweza kufanya hivyo.
Hata mimi uandishi wangu wa makala hauwezi kufanana na wa mwingine, ninayo namna yangu ya kuandika ambayo Mungu aliiweka na naenenda kwa hiyo. Nikijaribu kuwa kama mwingine au kuiga nitashindwa tu, inabidi niwe mimi. Ni wajibu wa kila mtu kwa imani yake kuweza kugundua kile ameumbiwa kufanya.
Kuna mwingine amezaliwa kufundisha wengine tu, popote alipo ualimu wake utaonekana tu, yaani atafurahia kufundisha tu hata kama hamna kipato anapata lakini yeye kuna amani anaipata ndani mwake, kuna kile kitu unaweza kufanya bila kutanguliza malipo, kile ambacho usipofanya unasikia kama una deni, unaona haujatimiza wajibu wako sawasawa. Ukishagundua kusudi la wewe kuwepo ni wajibu wako wewe mwenyewe kulisimamia na kuliishi hilo, ukimshirikisha Muumba wako katika kila hatua.
Pengine baada ya kugundua kusudi lako ni lipi, unaweza kukutana na vikwazo vingi katika kuliishi hilo kusudi. Ndugu yangu tambua kwamba ni wewe na Mungu wako mnaelewa hilo kusudi hivyo usitegemee kila mtu akuelewe kirahisi, usishangae kuona uliotegemea wakuelewe wasipokuelewa. Na hiyo isiwe sababu ya wewe kuona labda umepotea au hauko sawasawa, hata mimi kuweza kuandika hata makala yenye maneno hata mia mbili tu haikuwa rahisi mwanzoni. Kuna wakati nilipompa mtu ambaye nadhani ni wa karibu aipitie na kunipa maoni nilipata maoni ya kukatisha tamaa sana, lakini uzuri ni kwamba wapo waliolewa na kunitia moyo. Lakini si vyema kumpuuza anayekupinga pia maana walikuwa na sababu zao za msingi pia, mwingine anakuambia hujawahi kusomea uandishi au wewe na ufundi wako na uandishi wa makala kama hizi vinahusianaje? Waliona hivyo , hawakubahatika kuona kile kimewekwa ndani mwangu Lakini mimi ndio nilijua kwa nini naandika, maana naamini siandiki ili kupoteza muda wangu bali kuna mtu akisoma anapata uwezo wa kusogea hatua moja mbele, kuna badiliko linatokea ndani mwake, kuna maisha ya mtu yanaguswa na kumfanya awe mtu bora zaidi, na ndiyo furaha yangu hiyo.
Hivyo haijalishi unakutana na nini, naomba kama kweli una uhakika ndicho kitu umeitiwa endelea kufanya, ng’ang’ana tu wapo watakaokuelewa baadae, kuna watu mtoto akizaliwa wanashindwa kuelewa kama anafanana na nani lakini kadri anavyoendelea kukua wanamtambua vizuri na kuzidi kumfurahia hata kama mwanzoni hawakumkubali.
Kuna mtu anajua kabisa anachokifanya sicho kitu anatakiwa kufanya lakini anafanya tu kwa kuwa kuna watu wanamtaka afanye hilo. Wakati mwingine hata mzazi anaweza kukutaka uwe mtu fulani kwa sababu zake binafsi na pengine nzuri tu. Mwingine anaweza kukutaka ufanye kitu fulani kwa manufaa yake. Ishi wewe vile ulikusudiwa kuwa, tumia hekima na busara kuwaelewesha wanaotaka uwe tofauti na ulivyo wakati wewe una uhakika hivyo ndivyo unavyopasa kuwa. Wakati mwingine ikibidi ni bora unyamaze na kuwaacha waone kwa vitendo kile unamaanisha maana hauwezi kujieleza kwa kila mtu.
Hivyo ni wajibu wako na uamuzi wako wewe kwa kuwa ndiwe unajua nini unataka, kuamua kwa dhati kusimamia na kufanya kile unafurahia kufanya, kile kinakupa amani moyoni, kile unakifanya bila kuhangaika au kutumia nguvu nyingi zaidi. Kumbuka kuogopa kufanya kitu unachokipenda kwa kuhofia watu watasemaje haikupi wewe furaha wala amani, bali itakufanya wewe kuwa mtumwa wa nafsi yako mwenyewe, hauishi wanavyotaka watu au jamii, unatakiwa kuishi kama Mungu alivyokukusudia uwe, Ukijaribu kutimiza matakwa ya wanadamu unatakiwa ujue kuwa wanabadilika kila leo, leo wanaweza kukukubali na kukupenda kwa kuwa unafanya hilo lakini using’ang’ane leo watu hao hao wakikugeuka.
Hivyo tafuta sana kujijua wewe ni nani? Kwanini upo? Ukilijua kusudi lako basi liishi hilo kusudi lako , ni kwa kufanya hivyo utaweza kupata ile amani ya kweli maishani mwako, na pia kwa kuishi lile kusudi uliloumbiwa hautumii nguvu nyingi sana ili kuwa hapo, ukishajitambua mambo mengine yote yanakuwa yasharahisishwa, ukiwa kwenye mkondo wa maji, maji yakiwepo yatakupitia tu. Wajibu wako ni kutafuta mkondo wa maji ulipo.

Tuesday, July 14, 2015

Najua umeshasoma makala nyingi sana kuhusu mafanikio, makala ambazo zinasema mbinu hizi za mafanikio mbinu zile za mafanikio. Na unapoona makala nyingine tena inayokuambia kuna mambo kumi usiyoyajua kuhusu mafanikio, unaweza usiamini. Lakini twende pamoja na utagundua kwamba mambo haya kumi kuna ambayo huyajui kabisa na kuna ambayo unayajua ila uliyaelewa vibaya. Karibu twende pamoja na mwishoni utafanya maamuzi kama kweli unayataka mafanikio au unayatamani tu.
Katika mchezo wa riadha, au mbio, huwa tunapenda kuwaangalia wenzetu wakikimbia. Na katika mchezo huu kama wewe mwenyewe umewahi kushiriki au umekuwa unaufuatilia utakuwa unajua kwamba sio mbio zote ni sawa. Kuna mbio fupi na mbio ndefu, ambazo kwa jina jingine zinaitwa marathon.
Kama umekuwa ukiangalia wachezaji wa mchezo huu, jinsi wanavyoanza mbio fupi ni tofauti kabisa na jinsi wanavyoanza mbio ndefu. Kwenye mbio fupi wanaanza wakiwa na kasi ya juu kabisa kwa sababu wanajua ndani ya dakika moja mchezo umekwisha. Mwisho wao wanauona na hivyo wanakazana haraka iwezekanavyo wawe wa kwanza kufika. Kwa kweli ushindi kwenye mbio hizi fupi anapatikana haraka sana na anahitaji kuweza kutumia nguvu nyingi sana kwa wakati mfupi.
Kwa upande wa mbio ndefu, hapa mambo ni tofauti kabisa. Kwanza wachezaji wanaanza taratibu sana, wengine unaweza kufikiri wanatembea. Wanakwenda mdogo mdogo na kadiri muda unavyokwenda wanaendelea kuongeza mwendo. Mwisho wa mbio hizi hawauoni kwa haraka kwa sababu watazunguka sana mpaka kuja kufikia wanakotaka kuishia. Pia kwa mbio hizi mshindi anatokana na uvumilivu na kuweza kukazana kwa muda mrefu. Pia kama umekuwa unaangalia mbio hizi utaona wengi sana wamekuwa wanaishia njiani kwa kukata tamaa. Na pia umekuwa ukiona wale wanaoanza kwa kasi huwa wanakuja kupitwa na wale waliokuwa wanakwenda taratibu.
Maswali kutokana na huo mfano wetu wa leo;
1. Unafikiri mafanikio ni mbio fupi au ndefu?
2. Je ni kasi ipi unaendea nayo mafanikio?
3. Ni kipi kitakufanya usiishie njiani?
Tafadhali nitumie majibu ya maswali hayo kwenye email{lovemaimu@yahoo.com na kama unaisoma makala hii